Baada Ya Kutkosa Tuzo Za # MTV MAMA Siku Ya Jana, Hii Ndiyo Kauli Ya Kwanza Ya Diamond Baada Ya Kukosa Tuzo Hizo..!!
Baada ya tuzo za Mtv Base kufanyika na Diamond Platnumz kutoka patupu, hii ndiyo kauli yake ya Kwanza kuhusu kilichotokea
Nanukuu "Maisha
ni Hatua.. Nafkiri kwa mwaka huu ile ndio ilikuwa hatua yetu kwa
MTV...Cha muhimu ni kujua wapi tulipokua mwaka jana na wapi tulipo
leo... pia kujifunza na kujua ni nini cha kuongeza zaidi ili Next tym
tuzidi kufanya vyema.... Shukrani zangu nyingi ziende kwa Mashabiki
wote,Management, Media,Family, wasanii na wadau Mbalimbali kwani kwa
nguvu zao ndio zimefanya leo kunisogeza toka sehem moja kwenda
nyingine...Next stop #BET!!!... Asante sana #Sheriangoi kwa Suti Hii"
0 comments:
Post a Comment