MAJANGA TENA ; MZEE SMALL AFARIKI DUNIA , TAARIFA KAMILI SOMA HAPA
Muigizaji mkongwe nchini , Said Ngamba
maarufu kwa jina la Mzee Small amefariki
dunia usiku huu akiwa katika Hospitali ya
Taifa Muhimbili jijini Dar . Mzee Small amefariki
kwa ugonjwa wa
presha baada ya kuugua kwa
muda mrefu kabla ya kuzidiwa jana na
kupelekwa Muhimbili . Mtoto wa marehemu
aitwaye , Muhidin amethibitisha kifo cha Mzee
Small. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU
MAHALI PEMA PEPONI. AMEN !
Kutoka kushoto ni Mhariri wa Championi Jumatano ,
Phillip Nkini , Mzee Small enzi za
uhai wake, Mhariri Kiongozi wa Magazeti ya
Championi, Saleh Ally na Mwandishi wa
Championi , Hans Mloli wakielekeq nyumbani
kwa Mzee Small..
R.I.P
0 comments:
Post a Comment