Kwa Wale Wadada Wa Mjini Wanaopenda Kuvaa Mawigi Katika Vichwa Vyao, Haya Ndiyo Madhara Yake, Tazama Picha Hapa
Baadhi ya wanawake wengi wa hapa mjini wameanza kutumia style
mpya ya kugundisha nywele aka wiving katika vichwa vyao kwa kutumia
gundi pasipo kujua mazara yake.
Watafiti na Madaktari kutoka bara ya ulaya wamethibitisha kuwa gundi
hizo zinazotumiwa huwa zinakemikali ambayo zinaleta adhari kubwa katika
mwili wa mwanadamu hususani kansa.
Mpaka sasa madaktari bingwa kutoka ulimwenguni kote bado hawajapata uvumbuzi wa dawa ya kutibu kansa zaidi tu ya kutumia njia ya kuchomelea mionzi ili mgonjwa apate ahueni.
0 comments:
Post a Comment