Kwa Wale Wadada Wa Mjini Wanaopenda Kuvaa Mawigi Katika Vichwa Vyao, Haya Ndiyo Madhara Yake, Tazama Picha Hapa


Baadhi ya wanawake wengi wa hapa mjini wameanza kutumia style mpya ya kugundisha nywele aka wiving katika vichwa vyao kwa kutumia gundi pasipo kujua mazara yake.
Watafiti na Madaktari kutoka bara ya ulaya wamethibitisha kuwa gundi hizo zinazotumiwa huwa zinakemikali ambayo zinaleta adhari kubwa katika mwili wa mwanadamu hususani kansa.

Mpaka sasa madaktari bingwa kutoka ulimwenguni kote bado hawajapata uvumbuzi wa dawa ya kutibu kansa zaidi tu ya kutumia njia ya kuchomelea mionzi ili mgonjwa apate ahueni.
My Blogger Tricks
blogger

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2014 Mahaba™ All Right Reserved
Designed by Udakutz.