HomeMapenzi JE MAPENZI KWENYE SIMU, HUWEZA KUMFIKISHA MTU KILELENI..!! AU NI KUJIUMIZA TU
JE MAPENZI KWENYE SIMU, HUWEZA KUMFIKISHA MTU KILELENI..!! AU NI KUJIUMIZA TU
Baadhi ya wapenzi hutumia simu kufanya mapenzi haswa pale wanapo kuwa
mbali, hii mara nyingi huleta maafa makubwa haswa pale mmoja wao
anapokuwa hajaridhika na tendo hilo kupitia simu, mara nyingi mmoja wao
huweza kurubunika kila rahisi hata kufanya mapenzi namtu mwengine aliye
karibu ili kumaliza haja zake.Ukweli ni kwamba sio rahisi kumfikisha mwanamke kileleni kupitia simu
sana sana tu utamjaza hamu ya kutafuta dawa iliyokaribu ili aweze
kukidhi haja zake. Usimfanyie mpenzi wako mapenzi kupitia simu halafu
baada ya hapo uchukue muda mrefu kuonana nae, hapo itakula kwako kwani
wengi wao hushindwa kujizuia nakujikuta wakitembea na wanaume wengine au
wanawake wangine
0 comments:
Post a Comment