JAMANI HATA KAMA KWENDA NA WAKATI SIO KUVAA HIVI!! VIJANA/ VIDUME KUWENI MAKINI SANA NA AINA HII YA MADEMU!! ONA HAPA
Siku Hizi fashion imekuwa kitu cha kituko sana hasa kwa hawa madada du
wa hapa Town... Embu niambie Vazi kama hilo unavaa mbele ya Boyfriend
wako eti kwa kisingizio cha Kwenda na wakati.
0 comments:
Post a Comment